07 Oktoba 2018
Pakua
Katika jarida la Umoja wa Mataifa leo Siraj Kalyango anaangazia
-Chanjo ya Ebola kwa wahudumu wa afya Uganda imeanza katika kujihadhari kabla ya shari
-Mwanamichezo nyota wa zamani na balozi mwema wa Umoja wa Mataifa Dikembe Mutombo awaasa vijana kukumbatia amani na elimu badala ya vita
-Mkimbizi kutoka Burundi anufaika na biashara ya sabuni kambini Kakuka Kenya
-Makala leo inamulika ibara ya tano ya haki za binadamu kuhusu matezo
-Mashinani utamsikimbia mbunge kutoka Kadjado Kenya akizungumzia umuhimu wa elimu
Audio Credit
UN News/Siraj Kalyango
Audio Duration
11'35"