Wanawake wa Senegal hawana tena shida ya maji 22 Oktoba 2018 Habari kwa Ujumla Pakua Mradi mpya wa shirika la chakula na kilimo duniani FAO, wa kukusanya na kuhifadhi maji katika matangi makubwa yaliyochimbiwa ardhini umesaidia wakulima wanawake wanaoishi maeneo yenye ukame nchini Senegal. Audio Credit Anold Kayanda Audio Duration 1'42" Photo Credit UNICEF/Patricia Esteve Senegal FAO tabianchi Sahel