Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

NENO LA WIKI-KUFA na KUFARIKI

NENO LA WIKI-KUFA na KUFARIKI

Pakua

Na sasa ni neno la wiki ambapo Bi. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anachambua maneno KUFA na KUFARIKI. Bi. Mwanahija anasema kwa kawaida kufa linaweza kutumika kwa mnyama au binadamu. Hata hivyo kufariki ni kwa binadamu peke yake na inapendeza zaidi tukisema kufariki dunia.

Audio Credit
Anold Kayanda na Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
1'
Photo Credit
UN News Kiswahili