Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ripoti ya Benki ya Dunia yasema uchumi wa Kenya na rwanda umebaki thabiti.

Ripoti ya Benki ya Dunia yasema uchumi wa Kenya na rwanda umebaki thabiti.

Pakua

Kasi ya  ukuaji uchumi kwa nchi za Afrika zilizo kusini mwa jangwa la Sahara ni ndogo kuliko ilivyotarajiwa, imesema ripoti mpya ya Benki ya Dunia kwa mwezi huu wa Oktoba. 

Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
1'47"
Photo Credit
Photo: Dominic Sansoni/World Bank