Ripoti ya Benki ya Dunia yasema uchumi wa Kenya na rwanda umebaki thabiti.
Pakua
Kasi ya ukuaji uchumi kwa nchi za Afrika zilizo kusini mwa jangwa la Sahara ni ndogo kuliko ilivyotarajiwa, imesema ripoti mpya ya Benki ya Dunia kwa mwezi huu wa Oktoba.
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
1'47"