WHO yasema kutobaini mapema na kutibiwa TB ni mtihani mkubwa Afrika.
Pakua
Fursa ya kutopimwa mapema, kugundulika na kupata matibabu yanayostahili ya ugonjwa wa kifua kikuu ndio mtihani mkubwa wa mapambano ya vita dhidi ya ugonjwa huo barani Afrika
Audio Credit
Priscilla Lecomte
Audio Duration
1'31"