Neno la wiki:Kozi halei kuku wa wana
Pakua
Katika Neno la wiki la leo Ijumaa 21-09-2018 Mchambuzi wetu Ken Walibora, mwanariwaya na mwanachama wa Chama Cha Kiswahili cha Kitaifa nchini Kenya anafafanua methali isemayo 'Kozi halei kuku wa wana' .
Audio Credit
Ken Walibora
Audio Duration
57"