UNGA73 yaanza rasmi, rais wake asema mabadiliko ya tabianchi hayakomi ijumaa
Pakua
Rais wa mkutano wa 73 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ulioanza rasmi hii leo Maria Fernanda Espinosa ametaja mambo muhimu yatakayoongoza utendaji wake kwa kipindi kizima cha mwaka mmoja.
Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
2'10"