Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

13 Septemba 2018

13 Septemba 2018

Pakua

Mwendazake Kofi Annan, azikwa leo huko Ghana, Katibu Mkuu Antonio Guterres afunguka. Keating ahitimisha jukumu lake Somalia apazia sauti vyombo vya kimataifa vya  habari. Kutoka Zambia baada ya jukwaa, wajasiriamali sasa kuhaha na serikali zao ili kukuza biashara ya nje. Na makala leo tunabisha hodi Uganda kunani? Na mashinani ni maoni yako kutoka Facebook kuhusu Kofi Annan. Karibu na mwenyeji wako leo ni Anold Kayanda

Audio Credit
Anold Kayanda
Audio Duration
11'14"