Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

7 Septemba 2018

7 Septemba 2018

Pakua

Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Siraj Kalyango anaangazia 

Watoto katika vita vya silaha Sudan Kusini na ziara ya Virginia Gamba

Pilika za kuelekea uchaguzi mkuu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, na ukiukwaji wa haki za binadamu

Ulinzi wa amani na changamoto zake kwa walinda amani wa Tanzania utamsikia Meja Jenerali Alfred Fabian Kapinga

Makala leo inamulika ujumbe wa amani kupitia muziki

Na katika Kiswahili "usiogope kuuliza kwani kuuliza si ujinga" ungana na mchambuzi Ken Walibora

 

Audio Credit
UN News/Siraj Kalyango
Audio Duration
11'38"