7 Septemba 2018
Pakua
Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Siraj Kalyango anaangazia
Watoto katika vita vya silaha Sudan Kusini na ziara ya Virginia Gamba
Pilika za kuelekea uchaguzi mkuu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, na ukiukwaji wa haki za binadamu
Ulinzi wa amani na changamoto zake kwa walinda amani wa Tanzania utamsikia Meja Jenerali Alfred Fabian Kapinga
Makala leo inamulika ujumbe wa amani kupitia muziki
Na katika Kiswahili "usiogope kuuliza kwani kuuliza si ujinga" ungana na mchambuzi Ken Walibora
Audio Credit
UN News/Siraj Kalyango
Audio Duration
11'38"