5 Septemba 2018
Pakua
Katika Jarida la Umoja wa Mataifa leo Siraj Kalyango anaangazia
Tahadhari ya WHO kuhusu kutofanya mazoezi ya viungo na athari zake kiafya
DRC sasa zaidi ya watu milioni 2.5 wanafahamu husu Ebola na jinsi ya kujikinga kwa mujibu wa UNICEF
Wakimbizi wa ndani 3500 nchini Sudan Kusini wamehamishiwa makazi salama kutoka kituo cha ulinzi wa raia umesema mpango wa UNMISS
Makala leo inamulika mchango wa mpiga picha kutoka Tanzania katika kupigia debe SDG's
Na vijana sio taifa la kesho tena bali la leo kwa mujibu wa Dkt. Salim Ahmed Salim
Audio Credit
UN News/Siraj Kalyango
Audio Duration
12'29"