Benki ya Dunia yamsaidia mama kujikwamua kutoka umasikini.
Pakua
Kutana na Fatima Haja, mkulima kutoka Yemen ambaye baada ya mumewe na mwanaye mkubwa wa kiume kufariki Dunia alilazimika kubeba jukumu la kulea familia peke yake na kibarua hicho hakikuwa rahisi.
Audio Credit
Sharifa Kato
Audio Duration
1'45"