Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Benki ya Dunia yamsaidia mama kujikwamua kutoka umasikini.

Benki ya Dunia yamsaidia mama kujikwamua kutoka umasikini.

Pakua

Kutana na Fatima Haja, mkulima kutoka Yemen ambaye baada ya mumewe na mwanaye mkubwa wa kiume kufariki Dunia alilazimika kubeba jukumu la kulea familia peke yake na kibarua hicho hakikuwa rahisi. 

Audio Credit
Sharifa Kato
Audio Duration
1'45"
Photo Credit
Giles Clarke/OCHA