Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Utoaji haki Uganda usiengue maskini

Utoaji haki Uganda usiengue maskini

Pakua

Malengo ya maendeleo endelevu, SDGs yameangazia masuala yote muhimu yanayogusa jamii yetu zama za sasa. Mathalani suala la watu kufurushwa kutoka kwenye nyumba zao au hata kufungwa kinyume cha sheria.

Lengo namba 16 limeangazia  masuala ya upatikanaji wa haki kisheria, ujenzi wa amani na uwepo wa  jamii jumuishi. Ni kwa mantiki hiyo John Kibego amefuatilia usakaji wa haki nchini Uganda katika masuala ya ardhi akizungumza na baadhi ya watu walionyimwa haki zao. Ungana naye  katika makalahii.

Audio Credit
Siraj Kalyango/John Kibego
Audio Duration
3'32"
Photo Credit
UN SDGs