Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kifo cha Annan kimewashtua wengi

Kifo cha Annan kimewashtua wengi

Pakua

Kufuatia  kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Saba wa Umoja wa Mataifa, Kofi Annan, wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa pamoja na watu waliowahi kufanya naye kazi wameendelea kutoa salamu zao za rambirambi kwa kiongozi huyo aliyeelezwa kuwa ni bingwa wa utu wa kibinadamu. 

Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
1'55"
Photo Credit
UN Photo.