Kifo cha Annan kimewashtua wengi
Pakua
Kufuatia kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Saba wa Umoja wa Mataifa, Kofi Annan, wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa pamoja na watu waliowahi kufanya naye kazi wameendelea kutoa salamu zao za rambirambi kwa kiongozi huyo aliyeelezwa kuwa ni bingwa wa utu wa kibinadamu.
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
1'55"