17 Agosti, 2018
Pakua
Jaridani hii leo na Patrik Newman anaangazia:
- Ni jinsi gani misaada ya kibinadamu ilivyosababisha mapigano baina ya jamii huko Sudan Kusini na sasa mamia ya familia zimesambaratishwa.
- Huko DRC, hivi sasa WHO imeibuka na mbinu mpya kufikisha huduma kwa jamii zilizoathirika na Ebola lakini zinaishi kwenye maeneo hatarishi kiusalama huko Kivu Kaskazini.
- Nchini Sudan Kusini, kijana mmoja baada ya kupata machungu ya kusaka maji akiwa mtoto, sasa ameamua kusoma uhandisi na kuleta kicheko kwa watoto wa jamii yake.
- Makala leo tunabisha hodi Kenya, mwanariwaya Ken Walibora anachambua ushauri.
- Na katika Neno la Wiki, BAKITA inafafanua neno SHINDA! Karibu
Audio Credit
Patrick Newman
Audio Duration
11'23"