Chanjo yaendelea Yemen huku mitutu ya bunduki ikimiminwa
Pakua
Licha ya makombora kuendelea kuporomoshwa huko Hudaidah kusini magharibi mwa Yemen kati ya vikosi vya serikali na wanamgambo wa kihouthi, mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo la afya WHO, la kuhudumia watoto UNICEF na la kuhudumia wakimbizi UNHCR, yanaendelea na kampeni ya chanjo dhidi ya mlipuko wa kipindupindu.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
1'13"