07 Agosti 2018
Pakua
Jaridani hii leo Jumanne ya Agosti 7 mwaka 2018 mwenyeji wako ni Assumpta Massoi na habari alizokuandalia hii leo:
- Chanjo dhidi ya Ebola kuanza kutolewa wiki hii huko jimbo la Kivu Kaskazini nchini DR Congo, serikali na wadau wake wamejipanga vyema kudhibiti mlipuko.
- Nchini Yemen mitutu ya bunduki na milio ya makombora havikatishi tamaa wahudumu wanaotoa chanjo dhidi ya kipindupindu nchini humo.
- Huko Somalia, raia waliokuwa wamesaka hifadhi Yemen wameendelea kurejea nyumbani kwa msaada wa UNHCR.
- Katika makala Patrick Newman anatamatisha wiki ya unyonyeshaji kwa kuangazia Tanzania.
- Na katika mashinani pia tunaangazia pia unyonyeshaji mtoto maziwa ya mama na mwenyeji wetu ni Neema Joshua. Karibu!
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
10'36"