Idadi ya wanawake wasionyonyesha watoto wao huko Bukoba nchini Tanzania yaongezeka- Takwimu
Pakua
Wiki ya unyonyeshaji duniani ikiwa imeingia siku ya tatu, inaelezwa kuwa katika manispaa ya mkoa mmoja kaskazini-magharibi mwa Tanzania idadi ya wanawake wasionyonyesha watoto wao kwenye kipindi cha miezi sita ya mwanzo tangu kuzaliwa imeongezeka na hivyo kuhatarisha uhai wa watoto hao.
Audio Credit
Patrick Newman/Assumpta Massoi
Audio Duration
1'34"