Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Zimbabwe chonde chonde zingatieni ahadi ya amani- Guterres

Zimbabwe chonde chonde zingatieni ahadi ya amani- Guterres

Pakua

Umoja wa Mataifa una wasiwasi mkubwa kutokana na matukio ya ghasia yaliyoibuka nchini Zimbambwe baada ya uchaguzi wa rais na kusababisha vifo vya raia.

Audio Credit
Patrick Newman/Grace Kaneiya
Audio Duration
1'23"
Photo Credit
UN Photo/Loey Felipe