Watakaohusishwa na unyanyasaji wa kingono hawana kazi UNHCR
Pakua
Pamoja na jitihada za kupiga vita unyanyasaji wa kingono na ukatili, dhidi ya waathirika wa kivita katika maeneo ya migogoro duniani, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR sasa limegeuzia harakati hizo kwa wafanyakazi wake ili kutokomeza vitendo hivyo viovu.
Audio Credit
Patrick Newman/ John Kibego
Audio Duration
1'28"