Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kasi ya maisha inawasahau wazee-Dkt.Wachira

Kasi ya maisha inawasahau wazee-Dkt.Wachira

Pakua

Usemi usemao “ya kale ni dhahabu” waonekana kupitwa na wakati, sio tu katika familia ambazo kwa miaka nenda miaka rudi zimekuwa zikiamini wazee ndio dhahabu inayoshikilia jamii kwani kadri wanavyozeeka ndivyo wanaongeza maarifa watakayoavichia vizazi vya sasa na vijavyo hususan barani Afrika.

Audio Credit
Siraj Kalyango/ Dkt. Florence Wachira
Audio Duration
1'19"
Photo Credit
UN Photo/Logan Abassi