Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vijana nchini Uganda waamua kusalia vijijini, kulikoni?

Vijana nchini Uganda waamua kusalia vijijini, kulikoni?

Pakua

Uganda ina watu wapatao milioni 44 kwa mujibu wa makadirio ya idadi ya watu ya Umoja wa Mataifa na idadi hii inawakilisha aslimia 0.58 ya idadi yote ya watu duniani., na kati yao watu wanaoishi mijini ni kama asilimia 17 tu waliosalia huishi mashambani au vijijini.

Audio Credit
Flora Nducha/ Grace Kaneiya
Audio Duration
1'41"
Photo Credit
(Picha© UNFPA Uganda)