Biashara ya utumaji pesa kupitia mitandao si mali ya serikali-UNCTAD
Pakua
Huduma ya mfumo wa kupokea pesa kutoka ughaibuni kupitia teknolojia ya mitandao na apu mbalimbali inazidi kushika kasi barani Afrika na katika mataifa mengine yanayoinukia imesema kamati ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo na biashara UNCTAD.
Audio Credit
Siraj Kalyango/ Patrick Newman
Audio Duration
1'27"