Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Biashara ya utumaji pesa kupitia mitandao si mali ya serikali-UNCTAD

Biashara ya utumaji pesa kupitia mitandao si mali ya serikali-UNCTAD

Pakua

Huduma ya mfumo wa kupokea  pesa  kutoka ughaibuni kupitia teknolojia ya mitandao na apu mbalimbali inazidi kushika kasi barani Afrika  na katika mataifa mengine yanayoinukia imesema kamati ya Umoja wa Mataifa ya maendeleo na biashara UNCTAD.

Audio Credit
Siraj Kalyango/ Patrick Newman
Audio Duration
1'27"
Photo Credit
UN Photo/Sophia Paris