Wapalestina wateseka
Pakua
Kamishna mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Zeid Ra’ad Al Hussein amesema kumekuwa na uchunguzi mdogo sana dhidi ya vikosi vya ulinzi vya Israel ambavyo vinatekeleza ukatili dhidi ya Wapalestina na hata unapofanyika huna nguvu dhidi ya washutumiwa kuweza kuchukuliwa hatua za kinidhamu na hukumu ikitolewa huwa ni ndogo ikilinganishwa na makosa yaliyofanywa.
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'44"