Wakimbizi wenye matatizo ya figo Jordan nyota ya jaha yawaangazia
Pakua
Wakimbizi wa Syria takriban 171 wanaoishi nchini Jordan wamekuwa wanasumbuliwa na matatizo ya figo na tiba yake ni gharama kubwa wasiyoweza kuimudu hadi sasa ambapo habari njema imewaletea matumaini mapya.
Audio Credit
Siraj Kalyango/ John Kibego
Audio Duration
2'14"