Huduma za afya kwa wakimbizi zaimarika, ukosefu wa damu bado tishio- Ripoti
Pakua
Ripoti mpya ya shirika la kuhudumia wakimbizi duniani, UNHCR kuhusu afya ya wakimbizi imebaini kuwa huduma za afya kwa kundi hilo pamoja na wengine waliofurushwa makwao ziko kwenye mwelekeo sahihi licha ya kwamba ukosefu wa damu, kudumaa na magonjwa ya kuambukiza bado ni tishio.
Audio Credit
Flora Nducha/ Grace Kaneiya
Audio Duration
2'14"