Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nelson Mandela atakumbukwa daima

Nelson Mandela atakumbukwa daima

Pakua

Leo ni kumbukizi ya miaka 100 tangu kuzaliwa kwa Rais wa kwanza mwafrika wa Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela.

Umoja wa Mataifa katika kuadhimisha siku hiyo imesema inamkumbuka kwa harakati zake za kupigania haki na usawa na zaidi ya yote kuendelea kuleta msukumo duniani kupitia mifano yake wa   ujasiri na huruma.

 

Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'3"
Photo Credit
UN Photo/G Kinch