Wahamiaji kutoka Ethiopia warejea nyumbani
Pakua
Shirika la Umoja wa mataifa la uhamiaji IOM limeanza tena kazi ya kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Ethiopia waliosaka hifadhi Yemen.Akizungumuza na wandishi habari mjini Geneva Uswisi hii leo, msemaji wa IOM, Joel Millman amesema kazi hiyo imeanza tena baada ya kusitisha kwa muda kutokana na hali ya usalama kutoka nzuri nchini Yemen.
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
1'40"