Jiji la New York
Pakua
Mamlaka za mikoa na za kitaifa haziendi sawia kuelekea kufanikisha lengo namba 11 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs la kuhakikisha miji inakuwa salama na endelevu ifikapo mwaka wa 2030.
Hivyo ndivyo inakamilisha ripoti mpya ya shirika la makazi la Umoja wa Mataifa la UN-Habitat na washirika wake ambao wanafuatilia maendeleo yaliyofikiwa na changamoto tangu tangu malengo hayo yapitishwe mnamo mwaka wa 2015.
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'39"