Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kutana na wavuvi wanawake nchini Chad

Kutana na wavuvi wanawake nchini Chad

Pakua

Changamoto za mabadiliko ya tabianchi na udhibiti mbaya wa maji , vinawaweka roho juu wanawake wavuvi nchini Chad ambao mlo na maisha yao ya kila siku hutegemea uvuvi, sasa samaki wameanza kuadimika na kuwaongezea mtihani wa kiuchumi na kijamii. Flora Nducha na taarifa kamili

 

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
2'12"
Photo Credit
UN News/Dan Dickinson