Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vita dhidi ya ugaidi yashika kasi mashinani

Vita dhidi ya ugaidi yashika kasi mashinani

Pakua

Kila uchao, magaidi wa kitaifa na kimataifa wanaibuka na mbinu mpya, vivyo hivyo tunapaswa kusaka mbinu mpya za kukabili vitendo hivyo viovu, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wakati akifungua kikao cha ngazi ya juu chenye lengo la kukabili ugaidi duniani.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
1'56"
Photo Credit
UNHCR/Ivor Prickett