Utesaji haukubaliki na haustahiki popote na kwa mazingita yoyote:UN
Pakua
Utesaji unasalia kuwa ni kitendo kisichokubalika na kutohalalishwa wakati wowote ule na kwa sababu yoyote ikiwemo wakati wa hali ya dharura, vurugu za kisiasa au hata wakati wa vita
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'31"