Uwekezaji wa kigeni wa moja kwa moja umeshuka kote duniani 2017
Pakua
Hayo ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya kamati ya maendeleo na biashara ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD iliyotolewa leo mjini Geneva Uswisi.
Ripoti hiyo, “Uwekezaji na sera mpya za viwanda “, imetathimini hali ya uwekezaji duniani katika kipindi cha kati ya 2016 na 2017. Katibu Mkuu wa UNCTAD, Mukhisa Kituyi, amesemaushukaji wa FDI na pia kudorora kwa makampuni tanzu duniani vinaleta wasiwasi hususan katika nchi zinazochipukia kiuchumi
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'31"