Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uwekezaji wa kigeni wa moja kwa moja umeshuka kote duniani 2017

Uwekezaji wa kigeni wa moja kwa moja umeshuka kote duniani 2017

Pakua

Hayo ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya  kamati ya maendeleo na biashara ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD iliyotolewa leo mjini Geneva Uswisi.

Ripoti hiyo“Uwekezaji na sera mpya za viwanda “, imetathimini hali ya uwekezaji duniani katika  kipindi cha kati ya  2016 na 2017. Katibu Mkuu wa UNCTAD, Mukhisa Kituyi, amesemaushukaji wa FDI na pia kudorora kwa makampuni tanzu duniani vinaleta wasiwasi hususan katika nchi zinazochipukia kiuchumi

Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'31"
Photo Credit
Picha ya UM