Heko G5 huko Sahel kwa kulinda raia-UN 30 Mei 2018 Habari kwa Ujumla Pakua Ukanda wa Sahel unakabiliwa na mashambulizi na shida za mara kwa mara ambapo nchi tano kwenye ukanda huo zimeunda kikosi cha kukabili mashambulizi kiitwacho, G5. Audio Credit Grace Kaneiya/ Siraj Kalyango Audio Duration 2'14" Photo Credit UN Photo/Marco Dormino Sahel António Guterres Mali G5