Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Heko G5 huko Sahel kwa kulinda raia-UN

Heko G5 huko Sahel kwa kulinda raia-UN

Pakua

Ukanda wa Sahel unakabiliwa na mashambulizi na shida za mara kwa mara ambapo nchi tano kwenye ukanda huo zimeunda kikosi cha kukabili mashambulizi kiitwacho, G5.

Audio Credit
Grace Kaneiya/ Siraj Kalyango
Audio Duration
2'14"
Photo Credit
UN Photo/Marco Dormino