Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Raia wa Sudan Kusini asimulia alivyobakwa baada ya mumewe kuuawa

Raia wa Sudan Kusini asimulia alivyobakwa baada ya mumewe kuuawa

Pakua

Hali bado si shwari kwenye jimbo la Unity nchini Sudan Kusini, jambo linalofanya maelfu ya raia wa kukimbia mapigano huku wakikumbwa na madhila ikiwemo kubakwa. 

Audio Credit
Assumpta Massoi/ John Kibego
Audio Duration
1'46"
Photo Credit
Picha: UM/Albert González Farran