Raia wa Sudan Kusini asimulia alivyobakwa baada ya mumewe kuuawa
Pakua
Hali bado si shwari kwenye jimbo la Unity nchini Sudan Kusini, jambo linalofanya maelfu ya raia wa kukimbia mapigano huku wakikumbwa na madhila ikiwemo kubakwa.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ John Kibego
Audio Duration
1'46"