Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kiswahili chetu ndio hazina yetu

Kiswahili chetu ndio hazina yetu

Pakua

Lugha yako ndio mkombozi wako!  Ikiwa leo ni siku ya Afrika, lugha za asili za Afrika nazo zimepigiwa chepuo na miongoni mwao ni lugha ya Kiswahili ambayo barani Afrika pekee inaongoza kwa kuzungumzwa na watu wengi zaidi, idadi ikitajwa kuwa ni zaidi ya watu milioni 200.

Audio Credit
Patrick Newman
Sauti
2'3"
Photo Credit
Picha/Worldreader