Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Pande kinzani Sudan Kusini, maneno pekee hayatoshi- IGAD

Pande kinzani Sudan Kusini, maneno pekee hayatoshi- IGAD

Pakua

Baada ya pande kinzani nchini Sudan Kusini kuridhia sitisho la mapigano, IGAD imezitaka kusimamia ahadi hiyo ili hatimaye kuwepo na amani ya kudumu nchini humo.

Audio Credit
Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya
Audio Duration
1'43"
Photo Credit
UNMISS (Maktaba)