Pande kinzani Sudan Kusini, maneno pekee hayatoshi- IGAD
Pakua
Baada ya pande kinzani nchini Sudan Kusini kuridhia sitisho la mapigano, IGAD imezitaka kusimamia ahadi hiyo ili hatimaye kuwepo na amani ya kudumu nchini humo.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya
Audio Duration
1'43"