Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wazungumzao Kiswahili ni zaidi ya milioni 200

Wazungumzao Kiswahili ni zaidi ya milioni 200

Pakua

Lugha za asili barani Afrika zinaangaziwa tarehe 25 mwezi huu wa Mei, ambayo ni siku ya Afrika.

Kuelekea siku hiyo, kumekuwepo na taarifa ya kwamba lugha ya kiswahili ni ya kwanza kwa kuzungumzwa na watu wengi zaidi ikifuatiwa na Hausa halafu Yoruba.

Jambo lililoibua hoja na mjadala mzito kwenye mtandao wa Twitter, si kuongoza kwa lugha hiyo bali ni idadi iliyowekwa ambayo ni milioni 98.

Ili kusaka ukweli wa hoja hiyo nimezungumza na Profesa Aldin Mutembei, kutoka Taasisi ya Taaluma za Kiswahili za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kumuuliza je takwimu ni sahihi?

(Sauti ya Profesa Aldin Mutembei)

Profesa Mutembei akaenda mbali zaidi akisema.

(Sauti ya Profesa Aldin Mutembei)

 

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
2'3"
Photo Credit
UNIC Dar es salaam/Stella Vuzo