Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Waogiek tunajikongoja Kenya,serikali tushikeni mkono: Prengei

Waogiek tunajikongoja Kenya,serikali tushikeni mkono: Prengei

Akizungumza na UN News seneta huyo amesema kuna changamoto nyingo zinazoikabili jamii yake lakini kwanza anaeleza majukumu yake katika baraza la seneti ya Kenya.

(SAUTI YA PRENGEI) 

Prengei anaamini hakuna lisilowezekana ingawa kila safari ni hatua. Kilio chake kwa serikali ya Kenya ni kuishika mkono jamii hiyo iliyoachwa na treni ya maendeleo hususan ya SDGs, kwani kwao muda unawatupa mkono kwa sababu,

(SAUTI YA PRENGEI)

Ameongeza kuwa hawataki kupigwa jeki huko kuwe ni upendeleo bali ziwe ni njia za kuwawezesha mfano

(SAUTI YA PRENGEI )

Pakua
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
2'39"
Photo Credit
IIED- GEF Small Grants Programme, UNDP