Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukombozi wa mwanamke kijijini utategemea ushirikiswahi wake:FAO

Ukombozi wa mwanamke kijijini utategemea ushirikiswahi wake:FAO

Pakua

Ili kuweza kumkomboa mwanamke wa kijijini, ni lazima ashirikishwe katika mchakato mzima, kuanzia utungaji wa sera hadi umilikaji wa ardhi.

Wito huo umetolewa na Bi Susan Kaaria afisa wa masuala ya jinsia katika idara ya sera ya shirika la chakula na kilimo FAO.

Katika makala hii anajadili na Flora Nducha, kama FAO wanafanya nini kufanikisha azma hiyo Ungana nao.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
3'9"
Photo Credit
UN News/Assumpta Massoi