Wanawake, mvutano wetu ndio anguko letu- Melab
Pakua
Mvutano baina ya wanawake ni mojawapo ya mambo yanayokwamisha kusonga mbele kwa kundi hilo, licha ya kwamba idadi yao ni kubwa duniani.
Melab Lumalah ambaye ni mwakilishi wa wanawake katika bunge la kaunti ya Nairobi, amesema hayo jijiin New York, Marekani wakati wa mahojiano yake na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa.
Bi. Lumalah amesema ya kwamba..
(Sauti ya Melab Lumalah)
Na kwa mantiki hiyo anasema..
(Sauti ya Melab Lumalah)
Audio Credit
Assumpta Massoi
Sauti
1'11"