Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maji ni suala la uhai au mauti:Guterres

Maji ni suala la uhai au mauti:Guterres

Pakua

Suala la rasilimali ya maji ni la uhai au mauti na si suala la kulifanyia lele mama. Dunia lazima ishikamane kudhibiti matumizi ya rasilimali hii ili kupunguza uhaba wake amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa antonio Guterres leo, ikiwa ni siku ya maji duniani.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
1'46"
Photo Credit
Maji ni moja ya mahitaji ya msingi ya kuendeleza maisha, lakini kwa wastani watu milioni 117 hawana maji safi na salama katika nchi zinazokumbwa na mgogoro. Picha: UNICEF