Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mchango wa vijana kwa suluhu ya wakimbizi waweza kufaa

Mchango wa vijana kwa suluhu ya wakimbizi waweza kufaa

Pakua

Vijana wanaweza kuwa na mchango mkubwa katika kusaka suluhu ya changamoto zinazowakabili wakimbizi na hasa vijana wenzao. Hayo yamesemwa na baadhi ya vijana wanaohudhuria vikao vya mfano wa Umoja wa Mataifa (Model UN) vinavyohitimishwa leo mjini New York Marekani.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
1'25"
Photo Credit
Picha na UN/DPI