Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Unaposaidiwa usiwasahau wenye dhiki:Khoboso

Unaposaidiwa usiwasahau wenye dhiki:Khoboso

Pakua

Khoboso Hargura Adichaereh baada ya kyusaidiwa kusoma aliona umuhimu wa elimu na hasa kwenye jamii ya rendile nchini Kenya ambako mtoto wa kike huishia kuolewa akiwa na umri mdogo. Akaamua kuchukua hatua kuwanza kusomesha watoto wa jamii hiyo ili siku nao wajikomboe na kusaidia wengine.

Audio Credit
Taarifa ya Flora Nducha
Audio Duration
1'41"
Photo Credit
Khoboso HarguraAdichareh/KPL