Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kampeni ya kupanda miti Bujumbura

Kampeni ya kupanda miti Bujumbura

 Wanaharakati wa mazingira mjini nchini Burundi wameanza kampeni  ya upandaji wa miti na mauwa  kwenye barabara muhimu za jiji la Bujumbura. Shughuli hiyo inanuwia kung’arisha jiji hilo  na kuandaa jiji kwa kuzingatia  swala  la mazingira  na mabadiliko ya tabia nchi.  Maelefu ya miche ya miti na mauwa yatapandwa katika kampeni hiyo ya kimazingira itakayodumu  wiki mbili.

 

Pakua

kampeini ya kupanda miti na maua katika barabara za mjini Bujumbura Burundi inafanywa na wakwerekertwa wa mazingira pamoja na kuwahusisha vijana. Pia na Meya wa mji huo ameshiriki katika kampeini ya wiki mbili.

Audio Credit
Ramadhan Kibuga
Sauti
3'5"
Photo Credit
Picha ya UN