Nchi za Afrika zenye vita zaweza kujifunza toka Liberia
Pakua
Penye nia pana njia, na kauli hiyo iliwafanya Waliberia kushikamana na kusema sasa vita basi. Wakafanya uchaguzi wa kidemokrasia na hadi sasa wanalia kivulini matunda ya amani waliyochumia juani. Nchi za Afrikazilizo vitani zifuate nyayo. huu ni wito wa Jenerali mstaafu Daniel Opande kutoka Kenya.
Audio Credit
Zipporah Musau
Audio Duration
3'5"