Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la Wiki: Kimanda

Neno la Wiki: Kimanda

Katika Neno la Wiki hii leo tunaangazia neno “Kimanda” na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi, katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, nchini Tanzania.  

Bwana Sigalla anasema Kimanda ni aina ya chakula, na inatumika zaidi katika yai iliyokorogwa na kukaangwa kwa kuchanganywa na nyanya, pilipili na vitunguu.  

Pakua
Audio Credit
Onni Sigalla
Audio Duration
31"
Photo Credit
UN News Kiswahili