Neno la wiki: Yamini
Pakua
Katika Neno la Wiki hii leo tunaangazia neno “Yamini” na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi, katika Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, nchini Tanzania. Bwana Sigalla anasema neno "Yamini" lina maana zaidi ya moja, Mosi, yamini ni kiapo, pili, yamini ni mkono wa mtu wa upande wa kulia au mkono wa kuume na yamini pia ni ahadi aitoayo mtu ya kutenda haki au kuficha siri baada ya kupewa wadhifa fulani..
Audio Credit
Onni Sigalla
Audio Duration
39"