Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tozo za ushuru ziangaliwe upya ili kukuza uchumi- Bakhresa

Tozo za ushuru ziangaliwe upya ili kukuza uchumi- Bakhresa

Pakua

Lengo namba 8 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linasisitiza ukuaji wa uchumi tena ulio jumuishi. Nchi za Afrika zilizo mashariki mwa bara hilo zinaelezwa kuwa ziko mstari wa mbele kuhakikisha uchumi unakua ili hatimaye kukuza vipato vya wanachi na hivyo kuondoa umaskini.

Hivi karibuni katika mkutano uliofanyika huko Comoro na kuandaliwa na tume ya uchumi barani Afrika, ECA, washiriki kutoka sekta ya umma na binafsi walipazia sauti fursa na changamoto katika ukuaji wa uchumi. Shuhuda wetu alikuwa Priscilla Lecomte kutoka ofisi ya ECA, mjini Kigali nchini Rwanda.

Audio Credit
Priscilla Lecomte
Audio Duration
6'25"
Photo Credit
UN/Comoro