Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kazi ni kazi , ukiitilia maanani:

Kazi ni kazi , ukiitilia maanani:

Pakua

Shirika la la kazi   duniani ILO, linesema ukosefu  wa  ajira kwa vijana bado ni changamoto kubwa  duniani kote.   Umoja wa Mataifa  na mashirika yake wamekuwa mstari wa mbele kuhimiza serikali na asasi za kiraia kutoa mafunzo yatakayowezesha vijana kujiajiri ili kuepuka zahma ya kutokuwa na ajira.

Katika taaluma za kiufundi moja ya mbinu ya kuzifunza kazi kwa baadhi ya vijana ni kupata fursa ya kijifunza taaluma kupitia kwa wazazi wao. Vijana wengi wamejikuta wamerithi kazi za babu, baba zao, mama au ndani ya familia.

Mwandishi wetu wa Maziwa Makuu  Ramadhani KIBUGA akiwa mjini Bujumbura Burundi  amekutana  na  kijana SALUM HAMISI  aliyerithi  kazi ya kunyoosha  na kutengeneza magari kutoka kwa baba yake. Nini anachokifanya Salum? Ungana na Ramadhani


Audio Credit
Patrick Newman/ Ramadhani kibuga
Audio Duration
4'8"
Photo Credit
Idadi ya wasio na ajira kuongezeka. (Picha:ILO)