Baada ya miaka 10 jela Teodora yu huru El Salvador
Pakua
Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa leo imekaribisha habari za serikali ya El Salvador kumuachilia huru mama aliyehukumiwa miaka 30 jela kwa kudaiwa kumuua mwanaye pale alipojifungua mtoto aliyekufa na ametolewa baada ya kuwa jela kwa miaka 10.
Audio Credit
Taarifa ya Flora Nducha
Audio Duration
1'4"