Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baada ya miaka 10 jela Teodora yu huru El Salvador

Baada ya miaka 10 jela Teodora yu huru El Salvador

Pakua

Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa  leo imekaribisha habari za serikali ya El Salvador  kumuachilia huru mama aliyehukumiwa miaka 30 jela kwa kudaiwa kumuua mwanaye pale alipojifungua mtoto aliyekufa na ametolewa baada ya kuwa jela kwa miaka 10.

Audio Credit
Taarifa ya Flora Nducha
Audio Duration
1'4"
Photo Credit
Picha: UN/Jean-Marc Ferré